Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Manara ameandika mtandaoni kwamba angependa mahojiano hayo kurushwa mubasharaa ili watu wajionee.
Kwa mujibu wa alichoandika mtandaoni, inaonekana Manara hana imani na kamati hiyo pamoja na TFF iliyomfungulia mashitaka.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka