Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Jamal Malinzi amekanusha taarifa feki zinazosambaa katika mitandao ya kijamii zikidai kuwa yeye ametengua maamuzi ya kamati ya saa 72 ya kupewa point tatu kwa Simba, Malinzi amenadika ujumbe kupitia ukurasa wake wa twitter “Taarifa zinasombaa kwenye mitandao kuwa nimetengua maamuzi ya kamati ya uendeshaji wa ligi si za kweli.TFF ina taratibu zake za kutoa maamuzi”
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka