Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpc-SPqitP8xisnYngmfMAE0527L18FLaib3FHlqrNKfahDSHUHtff0kup4qHZvJzLcIFgfq1E_Fuzjf3QU6uuarXXZl8sNd4cia_ajt7_j7G5KspLEvosJzsHYeN1VMNbEcea-BUqgK8v/s640/aveva.jpg)
Leo May 25 2017 ziliripotiwa habari za uongo katika mitandao ya kijamii kuwa wekundu wa Msimbazi Simba kupitia kwa Rais wao Evans Aveva wamekubali nafasi ya mshindi wa pili na kufuta malalamiko yao FIFA kuhusiana na TFF kuituhumu kutotenda haki.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka