WAZIRI MWAKYEMBE AWAFUNDA WANAOGOMBEA UONGOZI TFF | BONGOJAMII

WAZIRI MWAKYEMBE AWAFUNDA WANAOGOMBEA UONGOZI TFF

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Mwakyembe amesema ili kuweza kupiga hatua mbele katika soka la Tanzania wajumbe wanapaswa kutumia vizuri nafasi zao kuchagua viongozi wenye maono, wazalendo na wasioteteleka kwa ushawishi wa muda mfupi.

"Ndugu wajumbe viongozi bora huibuliwa na wajumbe makini wanaoongozwa na dhamira njema na uzalendo usioteteleka kwa vishawishi vya mpito, serikali inaamini tuna wajumbe makini huku ndani wasioyumbishwa na vishawishi vya muda na vishawishi vya mpito, tunataka viongozi wanaongozwa na uzalendo wa hali ya juu, hivyo tunataka viongozi bora wa TFF wenye hali, moyo, uelewa, weledi na uadilifu unaotakiwa kupeleka soka letu mbele" alisema Mwakyembe

Aidha Waziri Mwakyembe alisisitiza kuwa yoyote ambaye anaona amegombea nafasi yoyote ndani ya TFF kwa lengo la kujipatia fedha au kutajirika basi anapaswa kutambua kuwa amepotea njia.
Msikilize hapa Mwakyembe akifunguka zaidi.

Mwakyembe amesema rais na wajumbe watakaopatikana leo wataapishwa mbele ya wapiga kura wote wa uchaguzi tofauti na miaka ya nyuma ambapo walikuwa wakishahau haki ya waliowachagua kwa

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts