Breaking News: Lowassa Akamatwa na Jeshi la Polisi Geita | BONGOJAMII

Breaking News: Lowassa Akamatwa na Jeshi la Polisi Geita

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa mgombea urais kwa CHADEMA Mh. Edward Lowassa na mbunge wa Geita (M) Viti maalum Upendo Peneza wamekamatwa na jeshi la Polisi Geita mjini.


Taarifa zinaarifu kuwa Lowassa amefika Geita leo akitokea Kagera ambapo alipofika stendi ya zamani Geita wananchi walimsimamisha. Aliposhuka kwenye gari kuwasalimu wanageita, polisi wakamkamata na kumpeleka kituo cha Polisi Geita.

Lowassa alikuwa anaenda kwenye kampeni za uchaguzi Kata ya Nkome
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts