U HEARD: Dancer wa Diamond Platnumz adaiwa kumtelekeza mtoto | BONGOJAMII

U HEARD: Dancer wa Diamond Platnumz adaiwa kumtelekeza mtoto

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Ni kawaida yangu kila siku kukuletea sori zote za Entertaiment zinazotokea na leo January 10 2016 nakukutanisha na hii kutoka kwenye U Heard ya Soudy Brown kuhusu dancer wa Diamond Platnumz anayefahamika kwa jina la Zungu kumtelekeza mtoto wake, Soudy Brown kapiga stori na mama wa mtoto huyo…..


’Mimi nimezaa na Dancer wa Diamond anaitwa Zungu nilikuwa naishi nae na tukapata nae mtoto anaitwa Faisali lakini kukatokea mizozo kati yangu na yake kulikuwa na msichana mmoja alikuwa anatoka naye anaitwa Rukia Ruki alishawahi kutoka na Rayvany‘;-Swaumu

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts