Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Mh. Mipango ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali la Mh. Lucy Magereli mbunge wa viti maalum aliyetaka kujua serikali ina mpango gani wa kuliwezesha bunge ili liweze kufanya kazi zake kwa ufanisi.
Akaongeza kuwa mpango wa serikali kuliwezesha bunge kufanya shughuli zake kwa ufanisi ni kutoa mfuko mkuu wa serikali kwenda kwenye mfuko wa bunge kwa kuzingatia bajeti iliyoidhinishwa na bunge .
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka