BAJETI YA MFUKO WA BUNGE YAONGEZEKA KUTOKA BILLION 99 MPAKA BILLION 121 | BONGOJAMII

BAJETI YA MFUKO WA BUNGE YAONGEZEKA KUTOKA BILLION 99 MPAKA BILLION 121

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Waziri wa Fedha na Mipango Mh.Philip Mipango amesema Bungeni kuwa kwa mwaka ujao wa fedha serikali itaongeza bajeti ya mfuko wa Bunge kutoka shilingi bilioni 99 mpaka shilingi bilioni 121.

Mh. Mipango ameyasema hayo alipokuwa akijibu swali la Mh. Lucy Magereli mbunge wa viti maalum aliyetaka kujua serikali ina mpango gani wa kuliwezesha bunge ili liweze kufanya kazi zake kwa ufanisi.

Akaongeza kuwa mpango wa serikali kuliwezesha bunge kufanya shughuli zake kwa ufanisi ni kutoa mfuko mkuu wa serikali kwenda kwenye mfuko wa bunge kwa kuzingatia bajeti iliyoidhinishwa na bunge .

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts