Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Taharuki hiyo imejitokeza leo kwenye mkutano huo uliofanyika jijini Dar es Salaam, ambapo Roma Mkatoliki aliahidi kuongea na waandishi kuhusu kutekwa kwake.

Waandishi walitaka kujua uhusiano wa kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya kudai kuwa anaimani kuwa Roma na wenzke watapatikana jumapili.
Waziri mwekyembe alipokuwa anajibu swali hilo Ofisa wa wa idara ya habari maelezo aliyekuwa akisimimia mkutano huo aliamuru maswali yasiendelee.
Makonda alinukuluiwa na baadhi ya vyombo vya habari vya kijamii akizungumzia suala la kutekwa kwa Roma siku ya Ijumaa ilhali Roma na wenzake walipatikana siku ya juma mosi.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka