HABARI YA KUSIKITISHA: Ajinyonga Baada ya kusalitiwa na Mpenzi Wake, Aacha Barua Yenye Ujumbe Mzito.. | BONGOJAMII

HABARI YA KUSIKITISHA: Ajinyonga Baada ya kusalitiwa na Mpenzi Wake, Aacha Barua Yenye Ujumbe Mzito..

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD



Kijana mmoja kwa Jina la Fredrick Richard amefikia hatua ya kujinyonga baada ya mpenzi wake (Rose) kumsaliti na kugawa tunda kwa rafiki yake kwa jina Robert.




Kabla ya kufikia maamuzi ya kujitoa uhai, kijana huyo aliandika barua ya simanzi kusikitishwa kwa kitendo alichofanyiwa na wawili hao.



Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts