VIDEO==>> HAKIKA RAIS MAGUFULI NI MFANO WA KUIGWA, TAZAMA ALIVYOHUTUBIA KWA KISWAHILI HUKO ETHIOPIA | BONGOJAMII

VIDEO==>> HAKIKA RAIS MAGUFULI NI MFANO WA KUIGWA, TAZAMA ALIVYOHUTUBIA KWA KISWAHILI HUKO ETHIOPIA

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Jengo la amani na usalama lililopo makao makuu ya Umoja wa Afrika (AU) Mjini Addis Ababa nchini Ethiopia jana tarehe 29 Januari, 2017 limetangazwa rasmi kuwa litaitwa Mwalimu Julius Nyerere.


Rais Magufuli alipewa heshima ya kutangaza rasmi kuanza kufanya kazi kwa jengo


==>Msikilize hapo chini akihutubia kwa Kiswahili


Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts