Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjKbvmKMXSrLFbu61acqpfcu4mCetj7Et3TuUJeDRe3k7qbgdP82ey5EQMQ1VGdzQRlVqx2qayOoIuNZiGKK6ta5ENNpGftnk97szoMR7EgYIbo852w6fpqQQlHmRwbWRF4CTcnhiLZpSw/s640/gwajima+post.jpeg)
"Mchana na usiku huzunguka kutani mwake; Uovu na taabu zimo ndani yake; Tamaa mbaya zimo ndani yake; Dhuluma na hila haziondoki mitaani mwake. Kwa maana aliyetukana si adui; Kama ndivyo, ningevumilia. Aliyejitukuza juu yangu siye anichukiaye; Kama ndivyo, ningejificha asinione. Bali ni wewe, mtu mwenzangu, Rafiki yangu, niliyejuana nawe sana. Tulipeana shauri tamu; na kutembea Nyumbani mwa Mungu pamoja na mkutano."
ZAB. 55:10-14 SUV
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka