Ridhiwani Kikwete Akutana na Edward Lowassa, Asema Amejifunza Mengi Kutoka Kwake, na Bado Atajifunza... | BONGOJAMII

Ridhiwani Kikwete Akutana na Edward Lowassa, Asema Amejifunza Mengi Kutoka Kwake, na Bado Atajifunza...

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Baada ya Jana Ridhiwani Kikwete Kukutana na Edward Lowassa Uwanja wa Taifa na Kupiga nae Stori kidogo amefunguka haya kwenye ukurasa wake wa Twitter:


"Siasa ni Shule ambayo haina kikomo. Tusichoke kujifunza. Mimi nahisi bado niko shule ya Msingi na ninaendelea kujifunza.#siasasivita" Ridhiwani
Tupe Maoni Yako Hapa Chini ( Matusi Hapana )
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts