Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEitd9aJifXrYQNZnpTvwHnCS75WAuG-BoDDaXtZo9aoJWvbajLOfg1Zg62esvNHu68vSQQwhzwEKm4Il0hI7xmfJXLr-J-FIJ7FH5PfWDe2bbLcZlBahyphenhyphenadFFHw1fBH1eE4C5huvBW70ls/s640/mange+kimambi.jpg)
Watu wengi wameoneshwa kusikitishwa na jambo lililomkuta Mange Kimambi kuhusu kupigwa mnada kwa Hoteli ya familia yao ambayo Mange anahisa 25%.
Kwa kuonyesha masikitiko yao juu ya jambo hilo, watu wengi wamemuomba Mange atoe namba ya Akaunti wamchangie ili aweze kulipa deni wanalodaiwa.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgx9ZhxqShoW0c_XZIOaaul-y3qM8qJ-bp5Y5-8n2tkSjR-dTIvlmR5dJIJwdq7WEpSdI3dtPFiXbV9onsKX46z-49KgPqd6Al6YULsDX3zuCJuRMtYEi4sGGncKnEVha6Dopzmjabv_PU/s640/mange+insta.png)
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka