Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Wabunge wengi wa CCM walikuwa kimya dhidi ya sakata hilo ambapo Ijumaa hii, Nyalandu ametaka matukio hayo kwenda kujadiliwa bungeni.
Kupitia twitter mbunge huyo alitweet,”IMESIKITISHA sana kuona AFISA akimtishia silaha Waziri Mstaafu Nape.Kitendo hicho ni kinyume na maadili ya TAIFA letu na kimedhalilisha NCHI,”
Aliongeza, “Kupitia BUNGE, nitaiomba SERIKALI ichukue HATUA za kinidhamu na kisheria DHIDI ya AFISA aliyemtishia Mh NAPE kwa SILAHA.Kitendo HAKIKUBALIKI,”
Katika sakata la RC Makonda kuvamia kituo cha Clouds Media alitweet, “Katika kutekeleza wajibu wake KIKATIBA, BUNGE ni sharti lijadili na kutoa AZIMIO kuhusu kilichojiri CLOUDS FM, na UHURU wa VYOMBO vya HABARI,”
Pia kitendo hicho kimeweza kupingwa na mashirika mbalimbali habari nchini.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka