MBOWE AMRUSHIA LAWAMA RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU KISA UCHAGUZI UBUNGE AFRIKA MASHARIKI | BONGOJAMII

MBOWE AMRUSHIA LAWAMA RAIS MAGUFULI NA WAZIRI MKUU KISA UCHAGUZI UBUNGE AFRIKA MASHARIKI

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe amtuhumu Rais John Magufuli pamoja na waziri Mkuu Kassi Majaliwa kuhusika kwa alichodai kuwa ni kuekukwa kwa taratibu za uchaguzi.
Mbowe ameongea hayo jana usiku mara baada ya kutoka kwenye ukumbi wa bunge ambapo amedai kuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Rais Magufuli kuhusika kwenye mchakato wa kuyakataa majin ya wagombea wa Chadema.

Mbowe amesema kuwa, wao hawatakubaliana na hilo kwa sababu Spika wa Bunge amekiuka kanuni za bunge, na uchaguzi wote ulikuwa wa kasoro.


Wagombea waliopendekezwa na Chadema Wenje Na Masha kupigiwa kura za hapana katika kuwania kuiwakilisha Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts