UJAUZITO WA LINNAH WAMLIZA GALATONI | BONGOJAMII

UJAUZITO WA LINNAH WAMLIZA GALATONI

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
MWANAMUZIKI Ahmed Sadala a.k.a Galatone aliyewahi kutamba katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva na Wimbo wa Samaki amefunguka kuwa suala la mwanadada mrembo na Mwanamuziki Esterina Sanga ‘Linah’ kupata ujauzito limemkatisha tamaa kiasi cha kuamua kupiga chini harakati zake za kumnasa.


Akichonga na Uwazi Showbiz, Galatone alisema kuwa Linah alikuwa ni mwanamke wa ndoto zake na alikuwa amepanga kuzianza harakati za kummendea hivi karibuni lakini baada ya kugundua kuwa ni mjamzito imebidi kujiweka pembeni na kumfi kiria mwanamke mwingine atakayempenda kama Linah.


“Najilaumu mwenyewe kwa .uzembe wangu wa kusubiri kujitosa kwake nikiamini muda ulikuwa haujafi ka, lakini sina namna inabidi tu kujiweka pembeni maana tayari wajanja wamemuwahi na si rahisi kunikubalia na kumuacha anayekwenda kuwa baba wa mtoto wake,” alimaliza Galatone

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts