Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgVxFPNdlmVHnK_J5Uvp3UKt2yAjDf_etw_Z39oQYzxC2M5VGboV84SsIhB7uTPemahekj8xTc7TEMZTMAIAgDrzCod41Q3VHhsfS2PVHVE0xRS_EOjEC-GgLgkJJmaZvj6Dnr3XtQsbqNg/s640/mbasha-2.jpg)
Akipiga stori na Star Mix, Mbasha alisema kutokana na changamoto kubwa aliyoipata kwenye ndoa, kila mwanamke anayemuona anamuogopa kwa kuwa ameshaumizwa kwa hiyo kwa wakati huu ameelekeza nguvu zake kwenye kazi.
“Unajua ukishaumwa na nyoka hata jani likikugusa unaogopa hivyo sina haraka ya kuoa kwa sasa, bado nipo namuomba Mungu akinionyesha nitaoa na kama haijampendeza basi nitabaki hivihivi,” alisema Mbasha.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka