HIKI NDICHO KILICHOJILI KWENYE MAZUNGUMZO YA MAKONDA NA KAMANDA MPYA WA POLISI DAR | BONGOJAMII

HIKI NDICHO KILICHOJILI KWENYE MAZUNGUMZO YA MAKONDA NA KAMANDA MPYA WA POLISI DAR

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda leo amefanya Mazungumzo na Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP Lazaro Mambosasa aliekuja kuripoti kwa Mkuu wa Mkoa baada ya kuteuliwa hivi karibuni na IGP Simon Sirro.


Katika Mazungumzo hayo wamejadili hali ya UsalamaJijini Dar es Salaam na namna ya kuendeleza yale ambayo yaliachwa na IGP Simon Sirro wakati akiwa Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.



Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts