Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhkoJDYDQXnMNIgWDDGJF4WRt_Vo8MTXS9P5s_GZX-c5zlCszTVvjlOWQqqzRKTu9RwcnsczF6_oLM73kulHi9xFT3tsJcvdAez6pALTk0WSaq6UbQBJuLARZtBS2rycX18KR794snmFVyi/s640/images.jpg)
Kwa mujibu wa habari,watoto wadogo pamoja na wanawake ni kati ya wale waliopoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea Lahij nchini Yemen.
Barabara zimefungwa kukabiliana na mafuriko nchini humo.
Ripoti zinaonyesha kuwa mvua kubwa kama hiyo haijanyesha nchini humo kwa miaka 15 sasa.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka