IDADI YA VIFO KUTOKANA NA MAFURIKO YAONGEZEKA YEMEN | BONGOJAMII

IDADI YA VIFO KUTOKANA NA MAFURIKO YAONGEZEKA YEMEN

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Mafuriko yaliyosababishwa na mvua kali kusini mwa Yemen yamesababisha vifo mpaka kufikia watu 14 sasa.

Kwa mujibu wa habari,watoto wadogo pamoja na wanawake ni kati ya wale waliopoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea Lahij nchini Yemen.

Barabara zimefungwa kukabiliana na mafuriko nchini humo.

Ripoti zinaonyesha kuwa mvua kubwa kama hiyo haijanyesha nchini humo kwa miaka 15 sasa.

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts