NEYMAR ARUDI BARCELONA | BONGOJAMII

NEYMAR ARUDI BARCELONA

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Neymar amerejea Barcelona na kujumuika na wachezaji kadhaa akiwemo Lionel Messi na Gerard Pique.

Neymar alikuwa jijini Barcelona nyumbani kwake kusharekea siku ya kuzaliwa ya mwanaye Davi Lucca.

Wakati Neymar akiwa na Pique, Messi na Raktic kutoka FC Barcelona, saa moja baadaye klabu hiyo imetangaza kumshitaki kutaka ilipwe asilimia kumi tena ya pauni milini 198 baada ya Neymar kuhamia PSG ya Ufaransa.

Messi alitupia picha hiyo wakiwa pamoja wenye furaha kusherekea siku ya kuzaliwa ya Davi Lucca na kusema “Hes is back”, yaani amerejea.

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts