Bonyeza
HAPA kudownload applicationi ya
Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD


Ni balaa kubwa! Wananchi wa kijiji cha Kwakonje, Kata ya Kibindu Wilaya ya Bagamoyo, wapatao 1500 wamemuomba Rais John Pombe Magufuli na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi wawaokoe, baada ya nyumba zao zaidi ya 160 kuchomwa moto na kubomolewa na watu wasiojulikana, Jumamosi iliyopita.

Nyumba zilivyochomwa moto.
Bonyeza
HAPA kudownload applicationi ya
Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka