Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Mahakama kuu imetengua hukumu iliyotolewa na Mahakama ya wilaya ya Kilombero dhidi ya mbunge Peter Lijualikali(CHADEMA).
- Lijualikali alihukumiwa kwenda jela miezi sita bila faini kwa kufanya vurugu wakati wa uchaguzi 2015.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka