Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Akipiga stori na Risasi Vibes, Nikki amesema maisha ya kuweka mambo binafsi hadharani yanamfanya aone yupo katika maisha bandia kwa kuwa eneo kubwa huwa ni maigizo.
“Siwezi kuweka wazi maisha yangu na mpenzi wangu hadharani, mimi napenda kuishi kiuhalisia, napenda kupenda na kupendwa pia, maigizo siyo kariba yangu, kuna watu wanatengeneza pesa ndefu kwa kugeuza uhusiano wao kuwa biashara, hao ni wao ila mimi siwezi,” alisema Nikki wa Pili.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka