BREAKING NEWS: WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU | BONGOJAMII

BREAKING NEWS: WANAFUNZI 20 WAFARIKI KWA AJALI KARATU

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Arusha. Wanafunzi zaidi ya 20 wanahofiwa kupoteza maisha katika ajali ya basi iliyotokea wilayani Karatu leo asubuhi.

Habahari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa basi hilo lilikuwa likitokea Arusha Mjini kuelekea katika Mbuga za wanyama.

Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Therezia Mahongo amethibitisha tukio hilo.

Tutaendelea kukujuza zaidi kuhusu taarifa hii.











Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts