Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Snura amekuwa akivutiwa na straika huyo tangu alipotua Simba na kuahidi kumsapoti kila wakati timu hizo zitakapokutana.
Akizungumza na MTANZANIA, Snura amemtaka Kichuya kufanya kweli kwenye mchezo huo huku akimwahidi zawadi endapo atafanikiwa kuwafunga wapinzani wao.
“Kichuya amekuwa shabiki wangu tangu alipojiunga Simba na amekuwa akiisaidia kwa kiasi kikubwa katika mechi zake, kikubwa ajipange na ahakikishe anawafunga hao mapema ili awaondoe mchezoni mapema,” alisema Snura.
Msimu uliopita mwanadada huyo alitimiza ahadi yake ya kumpa viatu vya mazoezi straika huyo baada ya kufanikiwa kuifunga Yanga mabao 2-1 kwenye mchezo wa ligi kuu.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka