Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Katika video hiyo anaonekana mtangazaji wa Clouds Fm/Tv, Soudy Brown akimhoji mama huyo ambaye alisema kuwa amezaa mtoto na Askofu Gwajima. Mwanamke huyo anaeleza kuwa kazi yake yeye alikuwa akifanya usafi katika kanisa hilo kipindi likiwa Kawe kabla ya kuhamia Ubungo.
Hata hivyo, Clouds waligoma kuirusha hewani taarifa hiyo kwa madai kuwa haina mashiko, hali iliyomfanya mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda kuvamia ofisi hizo huku akiwa na Polisi
Kufuatia Tuhuma hizo, Leo Gwajima ametolea ufafanuzi suala hilo.
==>Tazama Video hapo chini
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka