Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Mkuu wa mkoa wa Njombe akiwa na kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa amefanya ziara katika kijiji hicho pamoja na kushiriki uteketezaji wa bangi kwa zaidi ya ekari 50 lakini pia ametoa maagizo kwa viongozi wa wilaya vijiji na vitongoji.
Ni zaidi ya siku tatu kamati ya ulinzi imetumia kusaka na kuteketeza bhangi ambapo hata hivyo ni mtu mmoja tu aliyekamatwa huku wengine wakiendelea kusakwa ili wafikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Baadhi ya wananchi wilayani Makete wamesema kuwa zao hilo wamekuwa wakilitumia tangu kale kama kiungo cha mboga lakini sasa matumizi yamebadilika na kuwa madawa ya kulevya hivyo jamii inatakiwa kuacha kuendelea kuzalisha zao hilo.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka