Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Banda alikuwa mwenye bahati kwa kutotolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumtwanga ngumi Kavilla Jumapili katika mchezo ambao Simba ililala 2-1 kutokana na tukio hilo kutoonwa na waamuzi.
Katika kauli yake, Banda hajaeleza kwa uwazi kitu gani hasa alichokifanya na sababu za kufanya kitendo kile ambacho kilionekana dhahiri katika picha za video.
“Nachukua nafasi hii kuwaomba radhi watanzania na kaka yangu (Kavilla) kwa tukio lilitokea Jumapili, kwa sababu mimi na yeye ndiyo tunajua kitu gani ambacho kilikuwa kinaendelea,” amesema Banda.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka