Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Baadhi ya ndugu wa wagonjwa hao,wameiambia ITV katika hospitali hiyo ya rufaa mkoa wa Mara mjini Musoma kuwa,jioni ya aprili nane mwaka huu,mama mmoja wa familia hiyo,anadaiwa kuchuma mboga hizo katika moja ya shamba kijijini hapo,kisha kuzipika na kula yeye na familia yake kama chakula cha jioni,na kwamba baada ya muda mfupi walianza kujisikia kizunguzungu kabla ya kupatwa na magonjwa hayo.
Muuguzi wa zamu katika hospitali hiyo ya rufaa mkoa wa Mara Bi. Edinnes Makoba,amethibitisha kupokea wagonjwa hao ambao wanadaiwa kula mboga hiyo ya majani aina ya Mgagani.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka