Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Tukio hilo lilitokea baada ya kuiongoza timu yake ya Nice kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Lille.
Nice walikuwa wameshapachikwa bao moja na Lille, lakini mtukutu huyo alisawazisha kabla ya kuongeza jingine.
Wakati kikosi hicho kikiwa uwanja wa ndege baada ya safari hiyo ya kuwafuata Lille, Balotteli alitumia magoti yake kuserereka na kupita katika mlango waliokuwa wamesimama walinzi.
Kituko hicho hakikuwavunja mbavu wachezaji wenzake pekee, bali hata walinzi hao ambao walithibitisha ‘wendawazimu’ wa Muitalia huyo.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka