Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Akizungumza na Mikito Nusunusu, Uwoya alisema mtoto wake alikuwa na tatizo kubwa ambalo hakupenda kuliweka wazi kwenye vyombo vya habari lakini anamshukuru Mungu kwa sasa anaendelea vizuri baada ya kutibiwa.
“Jamani usisikie kuuguliwa na mtoto, nilikuwa nashindwa hata kula chakula ndiyo maana nimepungua,” alisema Uwoya.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka