Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Mfalme Mswati ametoa kauli hiyo kwa viongozi wa dini na kuwaagiza kujadili kuhusu suala hilo na kuwashawishi wananchi ili sheria ipitishwa na kuanza kutumika rasmi ingawa agizo hilo limeonekana kupingwa na wanawake ambao inasemekana wamekuwa wakiendeshwa na mfumo dume zaidi nchini humo.
Mfalme Mswati wa Swaziland ametaka kufutwa utaratibu wa Talaka, adai haziendani na utamaduni wa nchi hiyo, aagiza viongozi wa dini kujadili .

Mfalme Mswati ametoa kauli hiyo kwa viongozi wa dini na kuwaagiza kujadili kuhusu suala hilo na kuwashawishi wananchi ili sheria ipitishwa na kuanza kutumika rasmi ingawa agizo hilo limeonekana kupingwa na wanawake ambao inasemekana wamekuwa wakiendeshwa na mfumo dume zaidi nchini humo.
Mfalme Mswati wa Swaziland ametaka kufutwa utaratibu wa Talaka, adai haziendani na utamaduni wa nchi hiyo, aagiza viongozi wa dini kujadili .
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka