POLISI WAZUIA KIKAO CHA MBUNGE WA CUF NA MAALIM SEIF | BONGOJAMII

POLISI WAZUIA KIKAO CHA MBUNGE WA CUF NA MAALIM SEIF

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

JESHI la Polisi Dar es Salaam limezuia kikao cha Mbunge wa Temeke (CUF) Abdallah Mtolea, ambao ulipangwa kufanyika leo kutokana na sababu zisizofahamika.


Jana Mtolea alithibitisha kufanyika kwa kikao hicho ambapo mkutano huo ulitarajiwa kuhudhuliwa na Katibu Mkuu CUF Maalim Seif Sharif Hamad.


Juzi Aprili 22 mwaka huu, watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahimu Lipumba, walivamia mkutano wa wafuasi wa Katibu Mkuu, Maalim Seif Sharif Hamad na kuwapiga na kuwajeruhi wenzao pamoja na waandishi wa habari.


Lengo la Mkutano huo ni kufanya harambee za kuchangisha fedha kwa ajili ujenzi miundombinu ya ebneo la kilakala hasa wakati wa mvua.


Taarifa alizozipata kutoka polisi zilidai kuwa Mtulia alipanga kuwakusanya wafuasi wa lipumba na kuwashawishi kuhamia kwa maalimu kitu ambachom si cha kweli.

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts