Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Kamishina Sirro amesema hayo leo (jumatano) wakati akizungumza na waandishi wa habari ambapo amesema ni vyema watu hao wakaripoti ili kama hawana hatia wasafishwe au wakikutwa na hatia wapelekwe mahakamani kwa ajili ya taratibu nyingine za kisheria.
"Niwaombe waliopokea wito wa polisi waje wahojiwe kwa sababu mtu akija mwenyewe inasaidia tofauti na anaposubiri nguvu ya dora kutumika kumkamata ambapo lolote linaweza kutokea hasa kwa yule anayekataa hata kukamatwa." amesema Siro
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka