DALILI 4 ZA MPENZI MKOROFI | BONGOJAMII

DALILI 4 ZA MPENZI MKOROFI

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
HATABIRIKI
Siyo watu wakutabirika, ni watu wenye hisia za kubadilika badilika, mara muda huu ana furaha na kuonesha mapenzi, mara ghafla anakasirika na kutaka kuadhibu mtu.

MKATILI
Ni wenye tabia ya mabavu hususani katika tendo la ndoa, hawatajali hisia zako, umelala usingizini au unaumwa, bali hujali zaidi kuzitimiza haja zao.

LAWAMA
Huwa na tabia ya kuwalaumu sana wengine kwa matatizo anayo yapata, Mfano anapo kosa kazi, anapo-shindwa shuleni. Kila kitu ni kosa la mtu mwingine na siyo yeye.

WIVU
Mpenzi wako anakuwa na wivu sana kwa ule muda unaotumia kuwa na wafanyakazi wenzako, marafiki na hata ndugu zako, ingawa siyo kwamba anataka muda huo awe na wewe.

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts