Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Akizungumza na Risasi Jumamosi, Masogange alisema kuwa hakuna kitu kizuri maishani kama kuamua kupunguza vitu vingine ambavyo vilikuwa havina umuhimu wowote maishani na pia hata marafi ki wengine ambao alikuwa nao, hawakuwa wakimuongezea chochote zaidi ya majanga.
“Maisha yangu nimeyabadili kwa kiasi kikubwa sana kuna vitu vingi sana nimeviondoa ili tu niweze kubadilisha mfumo wangu niliouzoea huko nyuma, sasa hivi naona niko vizuri tu baada ya vitu ambavyo siyo muhimu kwangu kuviweka kando,” alisema Masogange.
Februari mwaka huu, Masogange alifi kishwa katika Mahakama wa Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka ya kutumia madawa ya kulevya kisha akatoka kwa dhamana na kesi yake inaendelea mahakamani hapo.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka