BARAKA DA PRINCE AMTOLEA POVU BEN POL | BONGOJAMII

BARAKA DA PRINCE AMTOLEA POVU BEN POL

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Baraka The Prince amemchana msanii mwenzake, Ben Pol kwa kumwambia hakuna chochote alichokifanya katika kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la 'Tatu' licha ya kutengeneza kiki kubwa mitandaoni.

Baraka amesema hayo kupitia ukurasa wake wa kijamii Istagram huku akilalamika kwa kusema hakutegemea kuona kazi hiyo kwa jinsi alivyojitoa msanii huyo kwa kuweka picha zenye utata katika mitandao na kuwafanya watu kuwa na shauku kubwa kujua ni jambo lilipelekea vile.

"Nimekuwa 'disappointed' sana huu wimbo...Kwa jamaa alivyojitoa nilidhani ni kitu kikubwa kumbe upumbavu..'Save our music".Ameandika Baraka


Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts