P-FUNK AFUNGUKA JUU YA TUHUMA ZA MWANAWE KUFANYIWA KITENDO KIBAYA...ADAI ANGEKUA BINTI YAKE ANGEMZIBUA MTARO ALIEMFANYIA KITENDO IKO | BONGOJAMII

P-FUNK AFUNGUKA JUU YA TUHUMA ZA MWANAWE KUFANYIWA KITENDO KIBAYA...ADAI ANGEKUA BINTI YAKE ANGEMZIBUA MTARO ALIEMFANYIA KITENDO IKO

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Akihojiwa kwenye kipindi cha "on point" kuhusu video ilisambaa akionekana binti akifanya mapenzi na kufanishwa na binti yake anaitwa Paula aliezaaa na msanii wa bongo movies, Kajala, Producer P-Funk amesema binti huyo anaeonekana sio mwanae Paula.


"Umeona nimekaa kimya ujue yule sio binti yangu. Yaani angekuwa mwanangu ungeona video mbili , ya binti yangu na ya yule jamaa nae akiwa analiwa, yaani watu wanazibua mtaro".
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts