ZITO AILAUMU SERIKALI, ADAI INAKUSANYA PESA KWA AJILI YA KUZITUMBUA NA SI KWA MAENDELEO | BONGOJAMII

ZITO AILAUMU SERIKALI, ADAI INAKUSANYA PESA KWA AJILI YA KUZITUMBUA NA SI KWA MAENDELEO

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

Zitto ameyasema hayo mbungeni dodoma,amesema serekali inakusanya hela kwa ajili ya matumizi na sio kwa maendeleo.


Ametolea mfano mpaka sasa maendeleo pekee ni bombadia na reli tu.


Zitto aliulizwa na mwandishi wa ITV tathimini yake juu ya bajeti inayomalizika ya 2016/2017


Zitto bana,Eti wanakusanyia tumbo badala ya maendeleo ya watu du!
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts