SIMBA YAICHINJA MBAO DAKIKA ZA MWISHO...KOTEI AWA MCHEZAJI BORA WA MECHI | BONGOJAMII

SIMBA YAICHINJA MBAO DAKIKA ZA MWISHO...KOTEI AWA MCHEZAJI BORA WA MECHI

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD

mechi
Saturday, May 27, 2017



Kiungo wa Simba, James Kotei amekuwa mchezaji bora wa mechi ya fainali ya Kombe la Shirikisho.

Katika mechi hiyo, Simba imeshinda kwa mabao 2-1 na kubeba ubingwa.

Kotei alicheza namba nne na kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika mchezo huo.
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts