HII NDIO KAULI YA MANARA BAADA YA SIMBA KUCHRZEA KICHAPO | BONGOJAMII

HII NDIO KAULI YA MANARA BAADA YA SIMBA KUCHRZEA KICHAPO

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
BONYEZA HAPA KU-DOWNLOAD
Msemaji wa Simba, Haji Manara anaamini kikosi cha Simba kina nafasi ya kubeba ubingwa.

Manara anaamini Simba itabeba ubingwa kama itarekebisha makosa katika mechi tano zilizobaki.

Simba imepoteza mechi mechi yake dhidi ya Kagera Sugar kwa kuchapwa kwa mabao 2-1 wakati ilikuwa na matumaini ya kubaki kileleni hadi mwisho wa ligi.

“Ni kweli tumekosea, ni kweli tumefungwa. Hakuna haja ya kupoteza muda, tuendelee kupambana.

“Bado tuna nafasi, kikubwa tunahitaji utulivu na kurekebisha makosa,” alisema.

Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Bongojamii Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka

Featured Posts